ARSENAL WAANZA KUJIFUA KWA MSIMU UJAO WA LIGI
https://melckstudio.blogspot.com/2014/07/arsenal-waanza-kujifua-kwa-msimu-ujao.html
Wenger akitaniana na kiungo huyo wa Wales mazoezini
Abou Diaby kushoto na Flamini na Rosicky wanaotaka kupeana mikono kulia 
Kieran Gibbs akigombea mpira na Flamini. Msimu mpya wa Ligi Kuu ya England unaanza mwezi ujao.
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA
