BOKO HARAM WAMEMTEKA MKE WA MWANASIASA CAMEROON


Wanajeshi wa Cameroon
Jeshi la Cameroon linasema kuwa kundi la wapiganaji Waislamu la Nigeria, Boko Haram, limemteka nyara mke wa mwanasiasa mashuhuri kaskazini mwa nchi.
Mke wa naibu waziri mkuu, Amadou Ali, na msaidizi wake wa nyumbani, walitekwa katika mji wa Kolofata, karibu na mpaka wa Nigeria.
Inaarifiwa kuwa mapigano baina ya Boko Haram na wanajeshi wa Cameroon yanaendelea.
Boko Haram imefanya mashambulio kadha kaskazini mwa Cameroon; na Jumamosi wafuasi zaidi ya 20 wa Boko Haram walifungwa nchini Cameroon baada ya kukutikana na hatia ya kupanga mashambulio.

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

KIMATAIFA 1308022390257813415

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item