HAYA NDIO MANENO ALIONGEA ALLY KIBA KUMHUSU DIAMOND

kibaMtaani kumekua na stori nyingi sana zinazowahusisha mastar kutoka Kigoma Ally Kiba pamoja na Diamond Platnumz na maneno mengi yamekua ni kuhusu uhusiano wao kama wanamuziki.

mondddWengi wao wanasema kuwa Ally Kiba na Diamond Platnumz wana Bifu na kama lipo watu wanatamani kujua chanzo cha hilo bifu na kwa sasa kama wana mpango wowote wa kufanya kazi pamoja.
Ally Kiba kapatikana na kuongea sentensi hizi 4.
1-’Mimi nipo okey sana’
2-’Sifikirii tu kuongea nae basi lakini nipo okey’
3-’Sijawahi kufikiria kwa sababu kuwa okey na mtu ni pamoja na kuzungumza kuwa karibu yaani sijawahi kufikiria’
4-’Mimi nipo okey na sina chuki,sana sana nampongeza sina chuki simaindi na nipo okey’.
Bonyeza play kumsikiliza Ally Kiba
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

BURUDANI 8045261853926792387

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item