KAULI YA POLISI JUU YA KUOKOTA MIFUKO 80 YENYE VIUNGO VYA BINADAMU
http://melckstudio.blogspot.com/2014/07/kauli-ya-polisi-juu-ya-kuokota-mifuko.html

Kama
mfuatiliaji wa mitandao ya kijamii kuanzia usiku wa July 21 kulisambaa
taarifa na picha zinazoonyesha viungo mbalimbali vya binadamu ambavyo
vilitupwa katika daraja la Mpiji.Kamanda wa Polisi mkoa wa kipolisi
Kinondoni ameongea na Power Breakfast ya Clouds Fm na
kusema>>’Kweli tumekwenda tumevikuta viungo mbalimbali vya
binadamu kama mikono,miguu,vichwa na viungo vingine’
‘Lakini vipo ndani ya mifuko ya sulphet na iko mifuko kama 80 hivi lakini tumechukua viungo hivyo na kuvipeleka hospital ya Muhimbili kwanza kuhifadhi na kwa ajili ya uchunguzi Mpaka sasa hakuna mtu aliyekamatwa’
Bonyeza play kumsikiliza kamanda wa polisi mkoa wa kipolisi kinondoni Kamilius Wambura
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA
‘Lakini vipo ndani ya mifuko ya sulphet na iko mifuko kama 80 hivi lakini tumechukua viungo hivyo na kuvipeleka hospital ya Muhimbili kwanza kuhifadhi na kwa ajili ya uchunguzi Mpaka sasa hakuna mtu aliyekamatwa’
Bonyeza play kumsikiliza kamanda wa polisi mkoa wa kipolisi kinondoni Kamilius Wambura