MAPOKEZI YA TIMU YA ARGENTINA YASISIMUA


Timu ya taifa ya Arggentina imepokelewa kwa shangwe na maelfu ya watu waliotaka kuwapongeza wachezaji wao, kuanzia uwanja wa ndege. Wanandinga hao walishuka kutoka kwenye ndege maalum iliyokuwa imenakshiwa kwa rangi za timu hiyo ikiwa na maandishi yaliyomaanisha 'Asante Argentina' kwa lugha ya kwao.


Wachezaji hao walipita kwenye mitaa wakiwa ndani ya mabasi maalum huku kukiwa na mapokezi makubwa kuwahi kushuhudiwa.
Argentina iliingia fainali za kombe la Dunia 2014, na kushindwa kutimiza ndoto yao ya kutwaa kombe hilo kwa kufungwa na timu ya Ujerumani kwa bao moja.
 kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

MICHEZO 652665439025769344

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item