MOTO MKUBWA WATEKETEZA VIBANDA VILIVYOPO NYUMA YA STENDI YA DALA DALA MKOANI DODOMA NA KUSABABISHA HASARA

 Moto huo mkubwa uliteketeza mali nyingi sana za dhamani wafanya biashara wa maeneo hayo ulidumu takribani masaa 3 ambapo jeshi la zimamoto pamoja na wananchi walifanya jitahada za kuudhibiti moto huo ili usiweze kuendele, huku jeshi la polisi likiimarisha ulinzi wa kutosha kutokana na vibaka kuvamia eneo hilo.



Baadhi ya mashuhuda waliokuwepo eneo hilo walidai chanzo cha moto huo kilionekana kutokea kwenye nguzo ya umeme iliyokuwa maeneo hayo ambapo inasemekana ndio sababu kubwa ya moto huo.






















Related

MATUKIO 7057075701359585013

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item