MTOTO MARY APATIAKANA AKIWA HAI, ALIIBWA CHANGANYIKENI KAPATIKANA TANDALE.MWIZI WAKE AKAMATWA.
http://melckstudio.blogspot.com/2014/07/mtoto-mary-apatiakana-akiwa-hai-aliibwa.html

Wapenzi
kwa uwezo wa Mungu mtoto Maryline amepatikana.Aliibwa changanyikeni
kapatikana Tandale.Huyo pembeni mwenye blue ndio mwizi mwenyewe alikuwa
houseboy wao zamani.Kwa nini alimuiba?je yupo salama na afya
njema?wazazi hawajapatikana bado kuongea simu zimezima. Habari zaidi
zitawaijia tuakapo zipata.
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA