NAHODHA WA UJERUMANI PHILIPP LAHM ASTAAFU KUCHEZEA TAIFA


Nahodha wa timu ya taifa ya Ujerumani Philipp Lahm amestaafu kucheza soka la kimataifa, baada ya kukiongoza kikosi chake na kushinda Kombe la Dunia nchini Brazil.Beki huyo wa Bayern Munich, ambaye pia anaweza kucheza kama kiungo, ameichezea Ujerumani mara 113.Lahm, 30, ataendelea kucheza Bayern Munich, ambapo amesaini mkataba hadi mwaka 

2018. Habari za kustaafu kwake kuichezea timu ya taifa zimethibitishwa na chama cha soka cha Ujerumani DFB.
Lahm alianza kuichezea Ujerumani Februari 2004 walipoichapa Croatia 2-1, na amestaafu kwa ushindi wa 1-0 dhidi ya Argentina katika fainali ya Kombe la Dunia.
 
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu. LIKE HAPA

Related

MICHEZO 6511752625860539880

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item