WAPIGANAJI 53 WA BOKO HARAM WAUAWA



Wapiganaji wa Boko Haram

Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewaua wanachama 53 wa kundi la Boko haram kufuatia shambulizi la wapiganaji hao katika mji wa kazkazini wa Damboa .
Limesema kuwa wanajeshi watano waliuawa katika vita hivyo vilivyoanza usiku wa siku ya ijumaa.

Maafisa wa eneo hilo hatahivyo wamesema kuwa idadi ya wanajeshi na raia waliouawa ni kubwa.
Wapinagaji hao waliojihami kwa silaha kali walikuwa wamelenga kambi moja ya kijeshi.
Kijiji cha Konduga kazkazini mashariki pia kinadaiwa kushambuliwa siku ya ijumaa.
Ripoti zinaarifu kwamba takriban watu watano wameuawa katika misururu ya mashambulizi ya kila siku.

Related

KIMATAIFA 4975616614270543615

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item