NUH MZIWANDA NA SHILOLE WAMWANGANA KISA MESEJI
http://melckstudio.blogspot.com/2014/08/nuh-mziwanda-na-shilole-wamwangana-kisa.html
![Nuh-Mziwanda](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/08/Nuh-Mziwanda.jpg?resize=439%2C291)
![nuh](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/08/nuh.jpg?resize=400%2C400)
Maelezo
ya Nuh Mziwanda yamedai kuwa sababu zilizosababisha waachane ni msg
ambayo aliikuta kwenye simu ya Shilole ambayo inasemekana ilitumwa na
mwanaume,Nuh alipomwambia Shilole apige alionekana kunikanyanga.
Nuh Mziwanda kaongea na Soudy Brown kwenye You heard na kazungumza mambo mengi ambayo yametokea kwenye uhusiano wao.
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA