SHILOLE NA NUH MZIWANDA WAPATANISHWA.. SASA MAMBO YAKO WAAAH

Mapenzi ya Shilole na Msanii mwenzake Nuh Mziwanda yamerudi tena baada ya wawili hao kupatanishwa na watu wao wa karibu, kwa mujinbu wa Shilole anadai kuwa Nuh amerudisha mabegi yake ya nguo kwa Shishi pamoja na vitu vingine ambavyo alivichukua nyumbani kwa mwanadada huyo baada ya kugombana juzi usiku, na hiyo ilikua ni baada ya Nuh kuzifumania msg ambazo alihisi zilikua zinatoka kwa mwanaume ambaye ana mahusiano ya ki ngono na Shilole,
zaidi Waskize wote wawili wakifunguka na mtandao wa Makorokocho 



kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

BURUDANI 2102964400651123534

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item