Picha: Beyonce ajibu kwa vitendo tuhuma za kuhariri picha inayoonesha sehemu ya mwili wake


Jana mashabiki walimshambulia Beyonce kwa picha aliyopost kwenye Tumblr ikiwa ni moja kati ya picha za kusherehekea siku yake ya kuzaliwa alizopiga mapema mwezi huu, ikimuonesha akishuka 
ngazi akiwa ndani ya vazi la ufukweni.
Madai ya mashabiki hao yaliyowekwa kwenye mtandao wa TMZ pamoja na picha ni kwamba Beyonce alihariri sehemu iliyoonesha nafasi kati ya mapaja yake ili aonekane mwembamba zaidi.
“Questionable thigh gap there, Bey. #photoshop #wonkystep #beyonce,”aliuliza shabiki mmoja.
Bado swali linabaki kuwa, je, watu maarufu huamini wanakuwa na mvuto zaidi wanapokuwa wembamba kuliko walivyo na bantu figure?
Masaa machache baada ya tuhuma hizo kuenea, Beyonce aliamua kujibu kwa vitendo kwa picha zinazoonesha uhalisia wa mwili wake na kwamba hakuna ‘Photoshop’.

Hata hivyo, hii sio mara ya kwanza kwa mashabiki kumtuhumu Beyonce na Jay Z kufanya photoshop ya picha zao ili aonekane mwenye mvuto zaidi.

Related

BURUDANI 1596102454967043846

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item