AJALI:- BASI LA AMANI LAPATA AJALI MAENEO YA SALANDA MKOANI TABORA, MTOTO MMOJA AFARIKI DUNIA
http://melckstudio.blogspot.com/2014/07/ajali-basi-la-amani-lapata-ajali-maeneo.html

Basi la
Amani Express likitokea Kigoma kuelekea Dar es salaam limepata ajali
usku wa kuamkia leo maeneo ya Salanda mkoani Tabora, ambapo mtoto wa
miaka mitatu amepoteza maisha na abiria kadhaa wamepata majeraha.
Mashuhuda wanahisi kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi. Pichani
abiria wakitafuta vitu vyao


Baadhi ya abiria walionusurika katika ajali hiyo wakisubiri msaada wa usafiri

Basi la Amani likiwa limepinduka

Kikosi kazi cha Michuzi TV kilicho katika ziara ya kikazi mikoani kikihojiana na baadhi ya abiria asubuhi hii.
Chanzo michuzi blog
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.BOFYA HAPA