BEYONCÉ KUWANIA TUZO NANE MTV


Beyoncé anawania tuzo nane katika tuzo za MTV, ikiwemo video bora ya mwaka, msanii bora wa kike na unenguaji bora.
Wimbo wake Drunk in Love, alioimba pamoja na mumewe Jay-Z, unapambana na nyimbo kadhaa ukiwemo Happy wa Pharrell Williams katika video bora.
Tuzo hizo zitafanyika Inglewood, California Agosti 24.
Wasanii wanaotarajiwa kutumbuiza katika sherehe za tuzo hizo ni pamoja na Usher Raymond na Ariana Grade. Wasanii wengine watatajwa baadaye.
Wengine wanaowania tuzo ya video bora ya mwaka ni Miley Cyrus na wimbo wake Wrecking Ball, Chanderlier wa Sia na Fancy wa Iggy Azalea.


kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

BURUDANI 5388084374120459088

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item