MAMA AUA WATOTO WAKE WATATU WALIOKUWA NA ULEMAVU.



totoo1

Mama mmoja nchini Uingereza amekiri kuwauwa watoto wake watatu waliokuwa na ulemavu.Mama huyo Tania Clarence, mwenye miaka 42, amekiri kuwa na hatia kwa kosa la kuwauwa watoto wake ambao ni mapacha wa kiume wenye umri wa miaka mitatu na wa kike aliyekuwa na umri wa miaka minne kwa misingi ya kukwepa majukumu.


Watoto hao walikutwa ndani ya nyumba yao.

Clarence amekuwa akitibiwa ugonjwa wa akili Kusini mwa London ambapo alishtakiwa April 24 mwaka huu.
 kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.BOFYA HAPA

Related

KIMATAIFA 4138872008068785133

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item