UKISTAAJABU YA MUSA UTAYAONA YA FIRAUNI....!!!! MREMBO AKUTWA KWENYE KABATI LA CHIPSI AKIWA AMELALA FOFOFO JUU YA CHIPS NA MISHIKAKI


Hili tukio waweza fikiri ni uongo,hii ni kweli kabisa mrembo mmoja amekutwa amelala kwenye kabati la chips maeneo ya Yombo Vituka jijini Dar es salaam leo asubuhi.

Imeelezwa kuwa jana usiku Muuza chips alipofunga  kabati na kufunga eneo lake la biashara kwa kufuli kisha akaenda kulala.

Walioshuhudia tukio hilo wanasema muuza chips alipofungua leo alimkuta mwanadada huyo ambaye hakujulikana jina lake akiwa amelala fofofo juu ya chips na mishikaki akiwa hajitambui

Hata hivyo bado haijajulikana aliingiaje kwenye kabati hilo la chips maana hakuweza kuongea baada ya kutolewa katika kabati hilo.kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.BOFYA HAPA
   

Related

MATUKIO 4475078202941996206

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item