MAMA NA MWANAE WANUSURIKA KWENYE AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA BAADA YA KUCHELEWA


Kwenye picha ni mwanamke wa Malaysia pamoja na mwanae aliyekua asafiri na ndege ya Malaysia iliyopata ajali akishindwa kujizuia kwa kutokwa na machozi baada ya kusikia ndege aliyokua asafiri nayo kudunguliwa na kombora kwenye mpaka wa Urusi na Ukraine. Sababu ya mwanamuke huyo kutokuwemo kwenye ndege hiyo ni kwa sababu ya kuchelewa na kukuta ndege ishaondoka na baadae alisema hii ni mwenyezi Mungu amenipa nafasi nyingine ya kuendelea kuishi.
 
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

KIMATAIFA 1742411637513824778

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item