PALESTRINA WAKIMBIA GAZA KASKAZINI

Wapalestina wahama Gaza kaskaziniMamia ya Wapalestina wamekuwa wakikimbia sehemu za kaskazini za Gaza, baada ya Israel kuonya kuwa italenga sehemu hiyo katika mashambulio yake ya sasa.
Umoja wa Mataifa umenukuliwa ukisema kuwa watu kama 4,000 tayari wameomba hifadhi katika hifadhi ya muda.
Jumamosi usiku mashambulio ya ndege za Israel yaliendelea Gaza.
Wapalestina zaidi ya 160 wameuwawa hadi sasa.
Hamas imerusha makombora zaidi dhidi ya miji ya Israel pamoja na Tel Aviv; hakuna mtu aliyekufa Israel.
Israil ilisema wanajeshi wane walijeruhiwa waliposhambulia eneo ambapo makombora yakirushwa.
Hamas inasema wanajeshi wa Israil hawakuwahi kufika ardhini.
 kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

KIMATAIFA 7273828477381481576

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item