SHAKIRA NOMA AMPIKU RIHANNA, APIGA LIKE MILIONI 100 FACEBOOK


Shakira
Shakira amekuwa mtu wa kwanza duniani kwenye mtandao wa Facebook kupata Likes milioni 100 katika ukurasa wake.
Nyota huyo wa muziki kutoka nchini Columbia amevunja rekodi hiyo siku nne tu baada ya kufanya onyesho katika fainali za michuano ya kombe la dunia nchini Brazil.
Shakira-20111212-0
Shakira aliyemzidi Rihanna kama Star wa kwanza Facebook mwezi Machi mwaka huu akiwa na watu milioni 86.8 amesema kuwa anajisikia fahari kubwa kufikia rekodi hiyo kwasababu hiyo ni sehemu pekee inayomuunganisha na mashabiki wake kutoka sehemu mbalimbali duniani.


kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

BURUDANI 2560087267035272356

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item