SOKA:- BAADA YA KOMBE LA DUNIA DUNGA ATEULIWA KUWA KOCHA MPYA WA BRAZIL
http://melckstudio.blogspot.com/2014/07/soka-baada-ya-kombe-la-dunia-dunga.html
Brazil imemtangaza mchezaji wa zamani Dunga kuwa kocha wa timu ya
taifa, kwa mara ya pili. Dunga alikuwa nahodha wa Brazil mwaka 1994
waliposhinda Kombe la Dunia, na alikuwa kocha kuanzia mwaka 2006 hadi
2011.
"Nimefurahi sana kurudi," amesema Dunga, 50, ambaye alikuwa akitajwa sana kuchukua nafasi hiyo. Dunga anachukua nafasi ya Luiz Filipe Scolari, aliyejiuzulu baada ya Brazil kufika nusu fainali ya Kombe la Dunia 2014, lakini alipata kipigo kizito katika historia ya taifa hilo kwa kufungwa 7-1 na Ujerumani. Dunga aliifikisha Brazil katika robo fainali Afrika Kusini mwaka 2010.
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA
"Nimefurahi sana kurudi," amesema Dunga, 50, ambaye alikuwa akitajwa sana kuchukua nafasi hiyo. Dunga anachukua nafasi ya Luiz Filipe Scolari, aliyejiuzulu baada ya Brazil kufika nusu fainali ya Kombe la Dunia 2014, lakini alipata kipigo kizito katika historia ya taifa hilo kwa kufungwa 7-1 na Ujerumani. Dunga aliifikisha Brazil katika robo fainali Afrika Kusini mwaka 2010.
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA