Yemi Alade kutua Bongo kumtafuta Johnny
http://melckstudio.blogspot.com/2014/07/yemi-alade-kutua-bongo-kumtafuta-johnny.html
Mwanamuziki kutoka Nigeria Yemi Alade anatarijiwa kutua Tanzania Tarehe 8 mwezi Agosti mwaka huu.
Msanii huyo ambae ametamba sana na ngoma yake ya "Johnny" ambapo ameamua kuvuka boda zote mpaka Bongo kuja kumtafuta Johnny kwenye "Tamasha la Matumaini".
Kwa sasa mwanadada huyo ametoa ngoma yake mpya inayoitwa "Tangerine"
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA
Msanii huyo ambae ametamba sana na ngoma yake ya "Johnny" ambapo ameamua kuvuka boda zote mpaka Bongo kuja kumtafuta Johnny kwenye "Tamasha la Matumaini".
Kwa sasa mwanadada huyo ametoa ngoma yake mpya inayoitwa "Tangerine"
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA