AJALI YA MABASI MAWAILI YALIYOGONGANA USO KWA USO MKOANI TABORA
http://melckstudio.blogspot.com/2014/08/ajali-ya-mabasi-mawaili-yaliyogongana.html
Hali
ni tete sana eneo la Mkolye, takribani km 4 toka Mjini Sikonge baada ya
basi la Sabena lililokuwa linatoka Mbeya kwenda Mwanza na basi la A.M.
toka Tabora kwenda Katavi kugongana uso kwa uso. Dreva wote wa mabasi hayo wamefariki hapo hapo, mmoja akiwa amekatika kichwa.
Abiria kadhaa wakiwa wamenasa katika mabasi hayo, baadhi wakiwa wamekatika mikono na miguu. Abiria wapatao watano wamefariki hapo, na majeruhi zaidi ya 30 wamepelekwa katika Hospitali ya Mission ya wilayani Sikonge.
hadi sasa mganga mkuu wa hospital ya mkoa wa tabora amedhibitisha kuwa waliofariki ni watu 16 tu, na majeruhi 70.
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA
Abiria kadhaa wakiwa wamenasa katika mabasi hayo, baadhi wakiwa wamekatika mikono na miguu. Abiria wapatao watano wamefariki hapo, na majeruhi zaidi ya 30 wamepelekwa katika Hospitali ya Mission ya wilayani Sikonge.
hadi sasa mganga mkuu wa hospital ya mkoa wa tabora amedhibitisha kuwa waliofariki ni watu 16 tu, na majeruhi 70.
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA