BODABODA YAMVUNJA MGUU KIJANA MANISPAA YA MUSOMA
http://melckstudio.blogspot.com/2014/08/bodaboda-yamvunja-mguu-kijana-manispaa.html

Kijana aliyegongwa na bodaboda na kuvunjika mguu wa kulia akiwa amelala chini katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara.
Bodaboda iliyotelekezwa na dereva wake baada ya kumgonga kijana huyo ikiwa eneo la tukio.
AJALI
hii imetokea jana majira ya saa 9:45 mchana katika Manispaa ya Musoma
mkoani Mara baada ya bodaboda kumgonga kijana mmoja ambaye
hakujatambulika jina lake mara moja na dereva wa bodaboda kukimbia na
kuacha chombo chake .
Picha kwa hisani ya global whatsapp
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA
