MBUNGE MWINGINE KUTOKA UKAWA ARUDI BUNGENI KUENDELEA NA MCHAKATO WA KATIBA



Mbunge wa Bunge Maalum la Chiku Abwao akizungumza na waandishi wa habari kukanusha habari za kujisajili katika orodha ya wajumbe wanaoshiriki vikao vya kujadili rasimu ya Katiba mjini Dodoma katika bunge maalumlinaloendelea hivi sasa na viako vyake na kudai taarifa hizo si za kweli leo katika ukumbi wa habari za bunge mjini dodoma Mbunge wa jimbo la  Mpanda Kati (Chadema) Said Arfi akijisajilli katika orodha ya wajumbe wanaoshiriki  Bunge la Rasimu ya Katiba mpya mjini Dodoma wakati hivi sasa bunge hilo linaendelea na vikao . Kulia ni Mfanyakazi wa Bunge Jamhuri ya Muungano,Lweli Lupondo.
 
 kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

SIASA 8795771094874929183

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item