KIKONGWE WA MIAKA 90 AKUTWA AMEJINYONGA JUU YA MTI NA MJUKUU WAKE -SHINYANGA


Mwanamke (kikongwe)anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 85 hadi 90 amekutwa amejinyonga kwa kutumia kamba ya katani juu ya mti karibu na nyumba yake katika mtaa wa Busalala kata ya Kizumbi tarafa ya Shinyanga mjini katika manispaa ya Shinyanga.

Kwa mujibu wa kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga Longinus Tibishubwa amesema tukio hilo limetokea jana saa sita mchana.

Amesema mwili wa marehemu uligunduliwa na mjukuu wa kikongwa huyo aitwaye Asia Muhammed huku akiongeza kuwa chanzo cha tukio hilo bado kinachunguzwa.
 
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item