KUNDI LA ORIGINAL KOMEDI LAVUNJIKA.....

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh5qaRqnCnptkWJ8bSUidfSEDKL-URsa2FseEFKEXG7yPzU2dwUsyYPFGkXltK-F4mUjTCQ_AJdhWzKCmlCHWAEFSlmXdgu5xGcpHPpYlK25QfesNK1yk1i9_hT5OHPFRWOpTHso5DrMbc/s640/origino_komedi.jpgHakuna ubishi kua miaka michache iliyopita kund la Orijino Komedi ndio lenye mashabiki wengi hapa nchini.
 
 Ilikua ikifika mda wa kurushwa kipindi kila mtu alikua hangoki Katika TV yake. Umaarufu  wao uliongezeka zaid pale walipohama EATV na kuhamia TBC.
 
Umaarufu wao uliendelea kuwepo hadi siku zq karibuni ambapo ulishuka kwa kasi sana, taarifa ambazo Bongoclan tumezipata ni kua kwa sasa kundi  hilo limevunjika na kila mtu anafanya kazi kivyake. Chanzo chetu kutoka kituo cha
TV
walichokua wakifanya kazi kiasema kua kwa sasa kila mtu ana hamsini zake na hawafanyi kazi tena pamoja
>>>>Chanzo blogu ya wananchi
 
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

BURUDANI 7284584834430203132

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item