LORI LA MAFUTA LAANGUKA KIMARA MWISHO NA KUZIBA NJIA.WANAINCHI WAGOMBANIA KUCHOTA MAFUTA



watu wapo busy wanachota Mafuta  yan bahati mbaya ukitokea mlipuko ni majanga




Lori la mafuta baada ya kuanguka.

Foleni iliyosababishwa na ajali hiyo eneo la Kimara, Dar.

Polisi wakidumisha ulinzi eneo la ajali.
LORI lililokuwa na shehena ya mafuta lita 34,000 likitoka jijini Dar es Salaam kuelekea mikoani Singida limeanguka asubuhi hii eneo la Kimara Darajani, Dar na kusababisha foleni kubwa baada ya kuziba barabara huku wananchi wakiamua kuchota mafuta kutoka kwenye lori hilo ambalo ni mali ya Nassor Filling Station. Jeshi la Polisi liliamua kuingilia kati kuwatawanya wananchi hao waliokuwa wakigombea kuchota mafuta eneo la ajali.

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu. LIKE HAPA

Related

MATUKIO 6031359155979848149

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item