MAKAVU LIVE: MASHABIKI WA DIAMOND WAJA JUU, WAMSHUKIA AUNT KUMUHARIBU WEMA!JIONEE MWENYEWE HAPA
http://melckstudio.blogspot.com/2014/08/makavu-live-mashabiki-wa-diamond-waja.html

Katika
Instagram imefunguliwa akaunti maalum ya watu wanaojiita TeamDiamondTz
nao wameanzisha kampeni ya kumtetea Diamond huku wakimtaka Wema kuachana
na starehe zisizo na faida kama alivyosema Diamond.

Hii sasa ni vutanikuvute… Wema na Diamond wamewaachia mashabiki waendelee.
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu. LIKE HAPA