PICHA 4 ZA AIBU ZA HAWA WADADA:POMBE YAWAADHILI NDANI YA CLUB KWA KUFANYA VTENDO VYA KINGONO

Warembo wawili ambao majina yao hayakuweza kupatikana mara moja wakazi wa jijini Dar es Salaam,  hivi karibuni walinaswa wakifanya vitendo vya kifirauni hadharani bila kuhofia umati wa watu uliokuwa ukiwatazama. 
Tukio hilo la aibu lilinaswa na paparazi wetu ndani ya Ukumbi wa Hoteli ya Travertine uliopo Magomeni jijini Dar es Salaam ambapo kundi jipya la New Five Stars lilikuwa likizinduliwa. 

Kama hiyo haitoshi, demu huyo‘ alifikia hatua ya ‘kumchojoa’ mwenzake kitendo kilichowafanya watu waliokuwa wakiwakodolea macho kupigwa na butwaa. 
  Hapo akimzaba kakofi kwa nyuma.
“Jamani dunia imekwisha, hawa akina dada wanafanya mambo gani haya mbele za watu? Hii yote pombe, ama kweli pombe si chai,” alisikika dada mmoja akimwambia rafiki yake
 
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

UDAKU 6365576674363090382

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item