MASATAA WA FILAMU - ANGELINA JOLIE na BRAD PITT WAFUNGA NDOA KIMYAKIMYA

Angelina Jolie na Brad Pitt wafunga ndoa kimyakimya  Mastaa wa filamu, Angelina Jolie na Brad Pitt wamefunga ndoa kimyakimya Jumamosi iliyopita huko Ufaransa. Taarifa ya ndoa yao imetolewa na msemaji wao.
Kwa mujibu wa Daily Mail, waigizaji hao ambao walidumisha penzi lao baada ya kuigiza filamu ya Mr. and Mrs. Smith walionekana katika uwanja wa ndege wa Nice, Ijumaa iliyopita.
 
Walitangaza rasmi uchumba April, 2013baada ya miaka nane katika uhusiano na walieleza kuwa hatua hiyo ilikuwa hatua ya ahadi ya maisha ya baadae ‘Promise for the Future’.
Angelina Jolie na Brad Pitt wanatarajia kuanza kushuti filamu yao mpya yenye story ya mahaba ‘By The Sea’ na chanzo kimeeleza kuwa katika filamu hiyo wawili hao wataonesha ukaribu sana wa kimapenzi.
 kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA
 

Related

BURUDANI 6554193497377478122

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item