MBUNGE WA TABORA MJINI Mh. ISMAIL RAGE APATA AJALI YA GARI_DODOMA


Na Baraka Mpenja, 
RAIS mstaafu wa klabu bya Simba sc, ambaye ni mbunge wa Tabora Mjini, Ismail Aden Rage imelazwa Hospitali ya mkoa wa Dodoma baada ya kupata ajali ya gari akitokea Tabora kueleka mjini Dodoma leo.
Imeelezwa kuwa Rage alikuwa anakwenda Dodoma kuhudhuria vikao maalumu vya bunge la katiba.
Ajali hiyo imetokea eneo la Chigongwe mkoani Dodoma.


kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu LIKE HAPA

Related

MATUKIO 8667140570141960598

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item