MWILI WA MTU MMOJA AMBAYE NI ALBINO UMEKUTWA UMETUPWA MAENEO YA SEGEREA KINYEREZI HUKU UKIWA UMETOLEWA MACHO YOTE SAMAHANI UTAKAZOZIONA






Inasadikiwa mtu huyu amekuja kutupwa eneo hili kutoka eneo jingine ambalo halijajulikana bado.Mwili huu umekutwa eneo hili  la segerea kinyelezi jiji Dar es salaam na watoto ambao walikuwa wakikata miwa huku ukiwa umeharibika na umekatwa shingo na kung'olewa macho yote mawili  na mpaka sasa hajafamika tayari police wamechukua mwili huo kwa uchunguzi   









kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

MATUKIO 531611417587507056

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item