SHANGWE ZA SERENGETI FIESTA BUKOBA KICHUPI CHA RECHO NI SHIDAAAAA,FETTY NI BALAAA,,SAIDA JE? USIPIME ONA HAPA



 
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Bukoba.
 
Rachel akiendelea kutoa burudani.
 
Mashabiki waliojitokeza katika Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo Bukoba.


 
DJ Fetty akifanya yake.
  
Msanii wa muziki wa asili Saida Karoli akiwanyanyua mashabiki wake.
 
Mtoto wa Saida Kaloli akicheza ngoma.
 
Staa wa Bongo Fleva, Jux akiimba wimbo wake mpya wa Nitasubiri.
 
Dogo anayekimbiza kwenye muziki wa Hip Hop Bongo, Young Killer akiwaimbisha mashabiki.
 
Msanii wa Super Nyota 2013, Kessy Style  akishambulia jukwaa.
 
Staa aliyetambulika zaidi kwa wimbo wake wa Maumivu, Khadija akiangusha shoo yake.
 
Rais wa Manzese, Madee akikaporomosha mashairi ya ngoma yake mpya ya Ni Sheeda.
 
Mkali wa ngoma ya Muziki Gani, Nay wa Mitego akiwasikilizia mashabiki wanavyoitikia nyimbo zake.
 
Staa wa Hip Hop, Stamina akifanya yake jukwaani.
 
Msanii wa Bukoba, Shomile naye alipata bahati ya kuamshaamsha burudani.
 
Jackson Mmbando akiwa katika pozi na Madee (kushoto).
(PICHA NA MUSA MATEJA/GPL, BUKOBA)
 
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

BURUDANI 6778218069668679980

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item