TAZAMA PICHA FIESTA ILIYOFANYIKA MWANZA USIKU WA 09/08 FUNIKA MBAYA

27fst 
Mwanza umekua ndiyo mkoa wa kwanza kufungua shamra shamra hizi za Fiesta kwa mwaka 2014 ambapo on stage zaidi ya wasanii 15 walipata nafasi ya kushow love na wakazi wa Mwanza kwenye uwanja wa CCM Kirumba.

23fst 
Inawezekana show hii ikaingia kwenye list ya miongoni mwa show zilizowahi kuhudhuriwa na wakazi wengi sana wa jiji hili la Mwanza kwa sababu nilipata taarifa kuwa ilipofika saa 5 tu usiku tiketi zote zilikuwa zimeisha.

7fst 
Ukiachilia mbali wasanii waliokuwa wakitajwa kwenye matangaazo kulikuwa na SAPRAIZ nyingine kwenye jukwaa la Fiesta,Mwanza walimuona Jokate akiimba kwa mara ya kwanza kwenye jukwaa na kushangiliwa sana kutokana na alivyoifanya show hiyo.

9fst 
Ratiba ya Serengeti fiesta baada ya Mwanza ni wakazi wa Bukoba na Kahama itakua zamu yao kuonja utamu wa Serengeti Fiesta na kwa miji hii miwili itakua ndiyo mara ya kwanza wanaiona,kwa Bukoba ni August 15 wakati Kahama ni August 17.

Related

BURUDANI 1150128454209872691

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item