(TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI)- MAJAMBAZI YAVAMIA NA KUUA MUME NA MKE na KUMJERUHI MTOTO MCHANGA MWENYE UMRI WA MIEZI 4_NGARA


Watu wanne wanaodhaniwa kuwa ni Majambazi wamevamiana kuwaua Mume na Mke na kumjeruhi Mtoto mchanga mwenye umri wa miezi 4 aliechwa na Mama yake aliyeuliwa katika tukio lililotokea Kijiji cha Murvyagira wilayani Ngara mkoani Kagera Ijumaa ya Agost 08,2014.

 Kwa mujibu wa Mtoto wa Marehemu amesema majambazi hao walivamia nyumbani kwao majira ya saa 3 usiku ambapo walitumia panga na jembe kuwaua Baba na Mama yake na kisha kuwapora Maharage gunia moja,Radio,Gunia la Karanga,Mabati na Fedha vitu ambavyo hadi sasa Thamani yake huku wahalifu hao wakitokomea kusikojulikana.

Aidha baadhi ya wananchi walioongea na Blog ya Mwanawamakonda,wameomba  juhudi ya kuimarishwa hali ya usalama na ulinzi wilayani Ngara izidishwe hasa wakati huu ambako matukio ya mauaji yamezidi kujitokeza.


....Mwili wa Mwanaume ukiwa eneo la tukio baada ya Kuawa kwa kukatwa Mapanga na watu  wanaodhaniwa kuwa ni Majambazi.


....Mwili wa Mwanamke ukiwa eneo la tukio baada ya kuuawa  na Mama huyo ameacha Mtoto mchanga mwenye umri wa miezi 4 aliyejeruhiwa na watu hao wanaodhaniwa ni majambazi.
 
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA
 

Related

MATUKIO 5980614234012912762

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item