WANAFUNZI WA CHUO CHA MZUMBE WAUA MWIZI WA LAPTOP CHUONI MOROGORO
http://melckstudio.blogspot.com/2014/08/wanafunzi-wa-chuo-cha-mzumbe-waua-mwizi.html
Wanafunzi
wa mzumbe main campus Morogoro wameua mwizi alyeiba laptop kutoka
mabwen mawil tofauti kwa taarifa zaid zinasema uuaji huo umetokea na
hasira kali za wanafunzi hao kuibiwa laptop kila siku na pia mwanzafunz
mwenzao kuvamiwa barabaran na kujeruhiwa na visu siku zilzopita....
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA
