Basi la Air bus kutoka Dar es Salaam Kwenda Tabora limepata ajali

Habari za 



hivi punde!! Ajali nyingine mbaya maeneo ya Kiegeya Gairo, gari la abiria kutoka dar-tabora limepata ajali mbaya kiasi kwamba watu karibia 48 wamepoteza maisha. Ni dakika 6 zilizopita. Picha hazifai kuonwa na mimi niko eneo la tukio kwa ajili ya uokozi..Viongozi Mbali mbali wa Serikali tunao hapa..Kwakweli ni majonzi vilio.
Air bus dar-tabora muda huu

LIKE HAPA

Related

MATUKIO 5165962643328938096

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item