AJALI:- NDEGE NYINGINE TENA YATUA KWA DHARURA NA KUSABABISHA KIFO CHA MTU MMOJA NA MWINGINE KUJERUHIWA

Screen Shot 2014-07-28 at 11.01.18 AM 

Ndege ya abiria ambayo imelazimika kutua kwa dharura ufukweni huko Venice Florida Marekani baada ya kupata tatizo ikiwa angani na rubani kuona hakukuwa na uwezekano wa kufika uwanja wa ndege alikofanya mawasiliano.


Screen Shot 2014-07-28 at 11.23.19 AM
Kutua huku kwa dharura kumesababisha kifo cha Mwanaume mmoja alikua akitembea ufukweni huku mtoto wake wa kike akijeruhiwa vibaya kwenye hii ajali.


Rubani na abiria wake hawakuumia kwenye hii ajali ila mtoto wa kike ambae anahisiwa kuwa na umri wa miaka 10 ndio ameumia sana na kukimbizwa hospitali.
 
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

MATUKIO 2807773214372837623

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item