ALICHOKISEMA BABA YAKE NUH BAADA YA KUSIKIA MWANAE KAJICHORA TATOO YENYE JINA LA SHILOLE.


Nuh-Mziwanda Wiki kadhaa zimepita tangu Nuh Mziwanda aamue kujichora tatoo yenye jina la mpenzi wake Shilole leo baba yake mzazi kazungumza juu ya hatua hii aliyoamua kuifanya mtoto wake Nuh kwa upande wake. Baba yake Nuh amezungumza hilo baada ya kuulizwa na Soudy Brown  kuhusiana na stori zilizosambaa juu ya kusemekana kumkataa Shilole,msikilize Baba yake Nuh akizungumza na Soudy Brown.tatoo Bonyeza play kusikiliza.
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

UDAKU 1230448092607387459

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item