Boko H: imewaua RAIA 2,000 mwaka huu

                        Wapiganaji wa Boko Haram
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Human Rights Watch linasema kuwa zaidi ya raia 2,000 wameuawa nchini Nigeria mwaka huu na wapiganaji wa kundi la Boko Haram.
Kwa mujibu wa shirika hilo, vifo hivyo vimetokea katika mashambulizi 95 tofauti katika zaidi ya miji 70 na vijiji kaskazini mashariki mwa taifa hilo.

Rais Goodluck Johnathan amepata shinikizo la kusitisha mashambulizi hayo na kuwaokoa zaidi ya wasichana 200 wa shule waliotekwa nyara miezi mitatu iliopita.

Anatarajiwa kukutana na baadhi ya familia za wasichana hao kufuatia ombi la mwanaharakati wa Pakistan Malala Yousafzai ambaye alikutana naye hapo jana.

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

KIMATAIFA 8991693869066367559

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item