SALMA JABU(NISHA) BADO ANAONGOZA KWA MAUZO YA FILAMU ZAKE BONGO


Salma jabu nisha ndio msanii pekee namba moja ambae anaongoza kwa filamu zake na alizo shiriki kuwa zinaongoza kwa mauzo sokoni mpaka sasa hajapatikana wa kumpiku hii ina tokana na uhodari wake wa kujituma na kujiheshimu na kuwapa radha mashabiki wake na Rekodi yake haijavunjwa mpaka sasa sokoni na kupachikwa jina la Diva wa soko la filamu tanzania.
 
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

UDAKU 7273930040093696285

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item