YALIYOJIRI KWENYE MECHI YA JANA KOMBE KA DUNIA

20140713-101157-36717149.jpg
Hatimaye michuano ya kombe la dunia inafikia tamati leo kwa mchezo wa fainali kati ya Ujerumani dhidi ya Argentina, wakati usiku wa jana mshindi wa 3 wa michuano hiyo aliamuliwa kwa mechi kati ya Uholanzi vs Brazil.
Mchezo huo uliopigwa kwenye uwanja wa taifa wa nchi hiyo, Brasilia, uliisha kwa matokeo ya ushindi wa 3-0 kwa Uholanzi, kikiwa kipigo cha pili cha Brazil ndani ya juma moja tangu walivyopokea kipigo cha magoli 7-1 kutoka Ujerumani.
Magoli ya Uholanzi yalifungwa na Van Persie, Blind na Georginio Wijnaldum.
Wakati kocha wa Uholanzi Louis Van Gaal akielekea Manchester United, kocha wa Brazil Luis Fellipe Scorali amesema pamoja na kuvurunda kwa Timu yake lakini hawezi kujiuzulu na hatma yake anaiacha mikononi mwa waajiri wake shirikisho la soka la Brazil.
20140713-101224-36744905.jpgkama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapowekwa kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

BURUDANI 7418973809847266323

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item