ABIRIA WANUSURIKA KIFO WAKISUBIRI USAFIRI

 Gari aina ya Toyota Raum lenye namba za usajili T483 CMU likiwa eneo la kituo cha mabasi.
ABIRIA waliokuwa katika kituo cha mabasi eneo la Quality Plaza jijini Dar wakisubiri usafiri wamenusurika kifo baada ya gari aina ya Toyota Raum lenye namba za usajili T483 CMU, kuhama njia katika barabara ya Nyerere na kuparamia kituo hicho.




 Dereva wa gari lililopata ajali ambaye jina lake halikufahamika mara moja akiongea na simu baada ya kunusurika kifo.
Dereva wa gari hilo mwenye asili ya Kihindi ambaye jina lake halikufahamika mara moja alishindwa kulimudu ndipo lilipovuka ukingo unaotenganisha barabara hiyo na kuhamia upande wa pili kisha kuparamia kituo cha abiria. Katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa





 Tairi likiwa limepasuka baada ya ajali hiyo.
Mashuhuda wakiwa eneo la tukio.
PICHA NA GPL

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

MATUKIO 5717530060775923287

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item