KIKONGWE AJIOMBEA KIFO SABABU YA KUISHI KWA MANYANYASO, HUKU AKIJICHONGEA JENEZA
http://melckstudio.blogspot.com/2014/08/kikongwe-ajiombea-kifo-sababu-ya-kuishi.html

Mkazi
Kijiji cha Lundusi Kata ya Peramiho wilayani Songea Mkoa wa Ruvuma,Bibi
Scholastica Mhagama amesema miaka mingi ameishi maisha dhiki na
kunyanyaswa bila msaada kutoka kwa jamii anayoishi hali ambayo imemfanya
amuombe Mungu amchukuwe ili azikwe kwenye jeneza alilojiandalia.
kama huja like
ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia
punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu LIKE HAPA