MAULID KITENGE AONDOKA RADIO ONE
http://melckstudio.blogspot.com/2014/08/maulid-kitenge-aondoka-radio-one.html
MTANGAZAJI
wa michezo wa Radio One Stereo, Maulid Kitenge kupitia akaunti yake ya
Twitter hivi punde ametangaza kuondoka rasmi katika radio hiyo baada ya
kuitumikia kwa miaka 14. Kupitia Twitter, Kitenge ameandika hivi:
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA