NEWZ - T.I ASHITAKIWA KWA WIZI
http://melckstudio.blogspot.com/2014/08/newz-ti-ashitakiwa-kwa-wizi.html
![T.I ashitakiwa kwa wizi wa vifaa vya jukwaani](http://www.timesfm.co.tz/content/uploads/2014/8/18/cache/TI%20sued_full.jpg)
Rapper T.I anakabiriwa na kesi ya wizi wa vifaa vya jukwaani
ambavyo alivikodi mwaka jana wakati wa Tour ya America’s Most Wanted
aliyofaya na Lil Wayne na rappers wengine.
Kwa mujibu waTMZ, kampuni iliyomkodishia vifaa hivyo imeeleza katika shitaka lake kuwa ilimkodishia vifaa T.I na akalipia gharama za kukodisha lakini wakati wa kurudisha hakurudisha Screen ya gharama kubwa inayofahamika kama Roll Drop inayotumika kuonesha picha na video wakati wa show.
Screen hiyo imetajwa kuwa na thamani ya $50,000 lakini kampuni hiyo inataka T.I ailipe $100,000 kwa kuwa katika muda wote iliyopotea ingekuwa imewaingizia kiasi hicho cha pesa kwa kuwakodishia watu wengine.
Tuhuma hizo zinakuja wakati ambapo T.I anaendelea kupiga kazi ya kuandaa albam yake mpya inayoitwa ‘Paperwork: The Motion Picture.
T.I ameeleza katika mahojiano alioyofanya hivi karibuni kuwa albam hiyo itawashikirisha Rick Ross, The Dream, Lil Boosie, Young Jeezy na wengine wengi.
Bado tarehe rasmi ya kutoka haijapangwa.
CHANZO TIMES FM
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA
Kwa mujibu waTMZ, kampuni iliyomkodishia vifaa hivyo imeeleza katika shitaka lake kuwa ilimkodishia vifaa T.I na akalipia gharama za kukodisha lakini wakati wa kurudisha hakurudisha Screen ya gharama kubwa inayofahamika kama Roll Drop inayotumika kuonesha picha na video wakati wa show.
Screen hiyo imetajwa kuwa na thamani ya $50,000 lakini kampuni hiyo inataka T.I ailipe $100,000 kwa kuwa katika muda wote iliyopotea ingekuwa imewaingizia kiasi hicho cha pesa kwa kuwakodishia watu wengine.
Tuhuma hizo zinakuja wakati ambapo T.I anaendelea kupiga kazi ya kuandaa albam yake mpya inayoitwa ‘Paperwork: The Motion Picture.
T.I ameeleza katika mahojiano alioyofanya hivi karibuni kuwa albam hiyo itawashikirisha Rick Ross, The Dream, Lil Boosie, Young Jeezy na wengine wengi.
Bado tarehe rasmi ya kutoka haijapangwa.
CHANZO TIMES FM
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA