RIHANNA NA DRAKE WAMERUDIANA? WALA PARTY NA KUONDOKA PAMOJA

Picha: Rihanna na Drake wamerudiana? Waparty na kuondoka pamoja alfajiri    Rihanna na Drake wamerudi tena kwenye vichwa vya habari baada ya kuonekana wakiwa pamoja Griffin Night Club ya New York, Jumapili usiku.
Wasanii hao wamezua hisia kuwa huenda wamerudiana tena hasa baada ya kuingia katika club hiyo kwa wakati mmoja, wakawa karibu na wakaondoka wote majira ya saa kumi alfajiri.
Hata hivyo, Drake na Rihanna waliwahi kuonekana katika hotel moja hivi karibuni baada ya kufanya show na kuperform ‘Take Care’ huku Rihanna akioenesha uchokozi wa hali ya juu.
Habari hizi zinakuja ikiwa ni siku moja tu baada ya Chris Brown na Karrueche Tran kurusha uhusiano wao kama zamani.
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA
 

Related

UDAKU 577826035537358426

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item