Steve Nyerere atangaza kugombea ubunge 2015
http://melckstudio.blogspot.com/2014/08/steve-nyerere-atangaza-kugombea-ubunge.html
Muigizaji aliyepata umaarufu zaidi kwa kuigiza sauti ya mwalimu
Nyerere, Steve Nyerere ametazngaza nia ya kugombea ubunge mwaka 2015
katika jimbo la Kinondoni.Muigizaji huyo ambaye ni mwenyekiti wa Bongo Movie Unity ameiambia Bongo5 kuwa tayari amejipanga kuwania kiti hicho kwa tiketi ya CCM.
“Ukiona chereko chereko ujue mambo yameiva, yeah nitagombea ubunge mwakani. Nimejipanga na ninaweza kufanya hivyo, nipo vizuri sana.” Amesema.
Source: Bongo5
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA
