Steve Nyerere atangaza kugombea ubunge 2015

Steve Nyerere atangaza kugombea ubunge  2015Muigizaji aliyepata umaarufu zaidi kwa kuigiza sauti ya mwalimu Nyerere, Steve Nyerere ametazngaza nia ya kugombea ubunge mwaka 2015 katika jimbo la Kinondoni.
Muigizaji huyo ambaye ni mwenyekiti wa Bongo Movie Unity ameiambia Bongo5 kuwa tayari amejipanga kuwania kiti hicho kwa tiketi ya CCM.
“Ukiona chereko chereko ujue mambo yameiva, yeah nitagombea ubunge mwakani. Nimejipanga na ninaweza kufanya hivyo, nipo vizuri sana.” Amesema.
Source: Bongo5

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu.LIKE HAPA

Related

BURUDANI 6489517308171150215

Asia - Leo

MZIWANDA - MSONDO NGOMA

TONBOY

TONBOY

CONTACT

Melck Studio
Tel : +25578920034
+255757605268
E-mail : melckstudio@gmail.com

SHOW LOVE TO THIS

Hot in week

Recent

Comments

Visitors


web stats
item